Wanawake wa namna hii wananivutia sana
Kuna kitu cha kipekee sana juu ya wanawake ambao wako hivi,
Sijui ni mimi tu na macho yangu, lakini mwanamke wa hivi naweza honga hata nyumba.
Huwa najikuta nawapenda bure tu...Rangi ya ngozi na nywele zao bado za asili...
Rai yangu: wanawake wa Kiafrika ni wazuri sana na Mungu aliwapendelea, msijiharibu ngozi zenu....
Sijui ni mimi tu na macho yangu, lakini mwanamke wa hivi naweza honga hata nyumba.
Huwa najikuta nawapenda bure tu...Rangi ya ngozi na nywele zao bado za asili...
Rai yangu: wanawake wa Kiafrika ni wazuri sana na Mungu aliwapendelea, msijiharibu ngozi zenu....
0 comments: