Wanawake, Hivi Mnajua Mwanaume Anayekutaka Kimapenzi au Anayekutamani?


Hii sasa ni kwa wanawake. Hivi mnajua mwanaume anayekutaka kimapenzi au anayekutamani jinsi anavyouangalia mwili wako anawasilisha hisia zake juu yako.

Je unawezaje kujua ujumbe anaokupa?

Mwanamke kama mwanaume anakutongoza na wakati unaongea naye yuko macho kodo kwenye matiti yako hapo jua kwamba akili yake imelenga zaidi sex hakuna mapenzi hapo yaweza kuwa one night stand, ukimpa humuoni tena.

Kama mwanaume uko naye kwenye mtoko na wakati anakutongoza anaangalia midomo yako kwa matamanio jua huyo yuko romantic kweli kweli na ana hisia za mapenzi juu yako. Huyu mnaweza kudumu kwenye mapenzi na hata kuoana kama ataridhishwa na tabia zako katika maeneo mengine.

Kama mwanaume anakuangalia machoni sana wakati wa mazungumzo yenu, basi hapo jua mwanaume anakuchunguza kama uko vizuri kiasi flani upstairs. Yaani anataka mwanamke smart kichwani na mwenye elimu nzuri kwahiyo kama na wewe uko vizuri kichwani jiuze hapo toa maujanja ma maujuzi uliyonayo ili kumvutia zaidi kama na wewe umempenda.

Yaani hapo hajali kuhusu mwili wako kwahiyo usipoteze muda mwingi kujiremba ukiwa na miadi naye wakati mwingine wewe noa akili yako tu umemaliza.

Ukiona mwanaume wakati anakutongoza anakuangalia zaidi mikono yako na mabegani huyo huwa anapenda vibaya yaani anapenda kumiliki na huenda wakati unakutana naye hajakutana kimwili na mwanamke kwa muda mrefu, kwahiyo hapo ujue kwamba mkikutana kimwili shughuli yake yaani mtoto hatumwi dukani.

Ukiona mwanaume anakutongoza lakini macho yake yako shingoni kodo kodo kuwa makini huyo ndiyo wale huanza kumpiga au kumfanyia mwanamke vitendo vya kikatili kabla au wakati wa sex. Hujulikana kama sadistic.

Ni watu ambao kwenye tendo la ndoa huwa kama vichaa na hufurahia na kulifurahia tendo la kujamiiana kwa kuona mwanamke aliye naye ameumia na hata kutokwa na damu.Wakati mwingine mchezo huo ukienda vibaya mwanamke huweza kupoteza maisha.

Lakini pia tatizo likiwa kubwa kuna wakati hufurahia kuua kati ya wanawake anakutaka nao kimwili na hiyo hutokea katika vipindi maalum.

Ukiona mwanaume anakutongoza lakini anakuangalia zaidi kiunoni au hips zako huyo anatarajia umzalie watoto.

Yaani huyo akikuoa utazalishwa wewe mpaka utengeneze timu ya mpira lakini wanajali familia.

Ukiona mwanaume anakutongoza lakini anaangalia zaidi miguu yako, huyo anakutaka ili ku show off kwa washkaji zake tu lakini siyo kwa lengo la kuwa na serious relationship.

Hapo unakuwa wa kuchezewa tu......

0 comments:

Banner1

Banner1