Rafiki Yangu Kanivuruga Akili Mnooo Kumuoa Msichana Aliyekuwa Mpenzi Wangu


Anajua Kabisa Yule Alikuwa Shemeji... Tena Hata Kesi Ndogo Ndogo Zilizotuhusu, Niliziweka Wazi Kwake Kwa Ushauri Na Msaada Wa Mawazo

Hata Tuliposhindwana Na Huyu Binti!.... Nilimshirikisha ......Na Kwakuwa Nilishavumilia Na Kuchoka Juu Ya Vitimbi Nilivyoangushiwa Na Huyu Binti, Akaafikiana Nami Kuwa Niachane Naye

Baada Ya Miezi Kadhaa......Cha Ajabu Kinachonishangaza Katika Hii Dunia Ni kupata Habari kuwa rafiki yangu yupo katika maandalizi ya kuoa na Mchumba wake ni yule yule aliyekuwa mchumba wangu siku za nyumba niliyeachana nae..Ki ukweli nimechanganyikiwa napata maswali mengi sana

Je inawezekana walikuwa wapenzi toka zamani ?
Je Rafiki yangu alihusika katika Kuvunja uchumba wetu ili yeye ajichukulie?

Nifanyaje Waungwana?

0 comments:

Banner1

Banner1